1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
DR Kongo | M23 Rebellen
Picha: Arlette Bashizi/REUTERS

Mzozo wa Kongo Mashariki

Mapigano mapya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, DRC, kati ya Jeshi la Kongo na waasi wa M23, yamesababisha uhamaji mkubwa katika siku za karibuni na kuchochea hali ngumu ya kiutu.